Katibu Tawala wa Mkoa wa Kigoma Rashid Kassim Mchata akifuatilia jambo wakati wa mafunzo dhidi ya magonjwa ya mlipuko kwa waandishi wa habari mkoani humo, |
Mwenyekiti wa Chama cha Waandishi wa habari mkoani Kigoma Deogratius Nsokolo akiwa na Katibu wake Mwajabu Kigaza wakati wa mafunzo dhidi ya magonjwa ya mpuko kwa waandishi wa habari. |
Baadhi ya waandishiwa habari mkoani Kigoma wakifuatilia mafunzo dhdi ya magonjwa ya mlipukoyaliyotolewa Agost 15, 2020. |
Baadhi ya waandishiwa habari mkoani Kigoma wakifuatilia mafunzo dhdi ya magonjwa ya mlipuko yaliyotolewa Agost 15, 2020. |
Mtaalamu wa Ufuatiliaji na udhibiti wa magonjwa ya mlipukoa Bw. Mololo Noah akizungumza wakati wa mafunzo dhidi ya magonjwa ya mlipuko kwa waandishi wa habari mkoani Kigoma. |
Dr Godfrey Smart aliyemuwakilisha Mganga Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Dr Simon Chacha akizungumza wakati wa mafunzo dhidi ya magonjwa ya mlipuko kwa waandishi wa habari mkoani Kigoma. |
0 Comments