Mwandishi wa blog ya Kigoma Press Club na Mwanachama wa Kigoma press Club Editha Karlo akiwa na tunzo aliyoshinda katika kundi la wazi aliyokabidhiwa hivi karibuni jijini Tanga katika mashindano ya tuzo za umahiri wa uandishi wa habari(Ejat) zinazotolewa na baraza la habari Tanzania (MCT).
|
0 Comments