Mkuu wa mkoa Kigoma akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari kuhusu kuanza kwa kambi ya kanda ya madaktari bingwa mkoani Kigoma. Mganga Mfaw…
Na Fadhili Abdallah,Kigoma MAMLAKA ya mapato TRA mkoa Kigoma imekamata bidhaa mbalimbali za pombe na vipodozi ambavyo thamani yake haujatambulika had…
Na Mwandishi Wetu, Dodoma Naibu Waziri Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa – TAMISEMI anayeshughulikia Elimu Mhe. Zainabu Katimba (Mb)…
Na Mwandishi Wetu, Kigoma Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Thobias Andengenye amewataka waajiri katika Sekta za Umma na binafsi mkoani Kigoma kuacha tabia ya …
Diana Rubanguka, Kigoma Wafugaji wa Kuku mkoani Kigoma wamesema kuwa wanadhamilia kufanya ufugaji wa tija kwa kuwa ufugaji ni miongoni mwa Biashara…
Mkurugenzi Mtendaji wa KUWASA Poas Kilangi akizungumza kwenye mkutano na viongozi wa serikali za mitaa na watumishi wa KUWASA (KUWASA DAY) Mkuu wa wi…
Na Mwandishi Wetu, Kigoma Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Mh. Thobias Andengenye amesema maendeleo yanayoendelea kushuhudiwa na kuwanufaisha watanzania yamet…
Na Mwandishi Wetu, Kigoma Rais wa Muungano wa Klabu za Waandishi wa Habari nchini (UTPC) ambaye pia ni Mwenyekiti wa Klabu ya Waandishi wa Habari Mko…
Na Mwandishi Wetu, Kigoma Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Kigoma (KUWASA), Poas Kilangi amewaahidi wananchi wa Man…
Diana Rubanguka, Kigoma . Askofu wa jimbo katoriki Kigoma Joseph Mlola, amewapongeza maaskofu kutoka majimbo matatu kwa heshima walioionyesha kwa waa…
Na Fadhili Abdallah,Kigoma Halmashauri za mkoa Kigoma zimetakiwa kubuni vyanzo vipya vya mapato na kusimamia vyanzo vilivyopo ili kuziwesesha halmash…
Na Mwandishi Wetu, Dodoma WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Miko ana Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mhe.Mohamed Mchengerwa amemshukuru Rais Sam…
Na Emmanuel Matinde, Kigoma. Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete JKCI kupitia huduma ya tiba mkoba iliyoanzishwa na Rais Samia Suluhu Hassan imeweka …
Na Kadislausi Ezekiel, Kigoma WAVUVI katika mwambao mwa Ziwa Tanganyika mkoani Kigoma, wamelalamikiwa na wananchi pamoja na wakuu wa Shule za Msingi …
FOLLOW US HERE